Social Icons

Pages

Featured Posts

Wednesday, February 13, 2013

1 BILLION RISING 14 Feb 2013


On February 14, 2013, the largest day of action in the history of V-Day, Dar es Salaam will take part in a global revolution to end violence against women. ONE BILLION RISING calls on women and the men who love them to join together and "dance until the violence stops." Dar es Salaam will join other Risings taking place simultaneously all around the world at Tusimame Dar. ONE BILLION RISING began as a call to action based on the staggering statistic that 1 in 3 women on the planet will be beaten or raped during her lifetime.

With the world population at 7 billion, this adds up to more than one billion women and girls. On February 14, 2013, V-Day’s 15th anniversary, Dar es Salaam will join activists, writers, thinkers, celebrities, and women and men across the world as we express their outrage, demand change, strike, dance, and rise in defiance of the injustices women suffer, demanding an end at last to violence against women. Our hope is that people will leave their offices, schools, and homes to come together and dance. By doing so, they will see just how many people are affected by violence against women. While it will be grounded in this sobering reality, Tusimame Dar – and One Billion Rising as a whole – is meant to uplift, unify, and show the world that the violence must stop.

We thank you for expressing interest in Tusimame Dar and invite you to join us in the fight to end violence against women. There are many ways to become involved prior to and during the event. We encourage you to check out OneBillionRising.org, watch the One Billion Rising Short Film, and let us know if you would like to participate in any way. We very much look forward to hearing from you.

Monday, December 17, 2012

KOFII OLOMIDE ASHUSHA BURUDANI NZITO UWANJA WA CCM KIRUMBA USIKU HUU

Kofii Olomide na Mwimbaji Cindy wakiimba huku wakiwa amezungukwa na wanenguaji wake
Mwanamuziki Kofii Olomide akipanda jukwaani huku akisinddikizwa na waimbaji wake.
Cindy katikati Mwimbaji mahili wa kike wa mwanamuziki Kofii Olomide akiimba jukwaani kalba ya Kofii Olomide mwenyewe kupanda jukwaani.
Kazi iko hapa kama wanavyoonekana wanenguaji hao wakicheza kwa sataili ya aina yake.
Hii ilichezwa kwa kwenda mbele na kurudi nyuma huku wakiwa wameshikana.
Palikuwa hapatoshi kwa shoo kabambe kabisa kutoka kwa wanenguaji wa Kofii Olomide.
Ili mradi burudani iliyopangika kutoka kwa wanenguaji hao
Staili hiyo ilichezwa kwa hisia pia
Kutoka kulia ni Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa  (SBL), Anitha Msangi Maurice Njowoka na Patrick Kisaka kutoka kampuni ya bia ya Serengeti wakishoo love kwa picha.
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Ephraim Mafuru kulia na Mkurugenzi wa Clouds Media Group Joseph Kusaga wakiwa katika picha ya pamoja
Wadau kutoka Miss Tanzania wakiwa katika onesho hilo.
Rachel wa THT akicheza na mmoja wa wanenguaji wa mwanamuziki Kofii Olomide.
Kofii Olomide akimpongeza msanii Rachel wa THT baada ya kuonyesha uwezo wake katika kuimba kwenye onesho hilo.
Waimbaji wa mwanamuziki Kofii Olomide wakiimba kwa hisia katika enesho hilo.
Rapa wa mwanamuziki Kofii Olomide anayejulikana kwa jina la Computar akighani huku wanenguaji wa kiume wakiingia jukwaani.
Jukwaani ni Recho wa kundi la  THT kutoka jijini Dar es salaam akinendelea kutoa burudani jukwaani
H. Baba akifanya vitu vyake mbele ya mashabiki wa jijini Mwanza wakati akitoa burudani ya utangulizi kabla ya mwanamuziki Kofii Olomide Kupanda jukwaani.
Pepe Kale wa Mwanza naye akafanya mambo makubwa na kukubalika na umati wa mashabiki waliohudhuria katika onesho hilo.
Wasanii wa Kundi la THT wakitumbuiza katika onesho hilo.
Bendi ya Hill Way ya Mwanza ikitumbuiza katika utangulizi
Kundi la Hill Way Band likifanya vitu vyake jukwaani katika utangulizi wa burudani za tamasha la Tusker Carnival kabla ya mwanamuziki Kofii Olomide kupanda jukwaani.
Mashabiki wakiwa wameanza kumiminika kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Mashabiki wakiwa  kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakisubiri kuona burudani ya Kofii Olomide.
Haya ni maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya kujipatia bia yako ya Tusker Lager na vinywaji vingine vinavyotengenezwa na Kampuni ya bia ya Serengeti
 
Haya ni maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya kujipatia bia yako ya Tusker Lager na vinywaji vingine vinavyotengenezwa na Kampuni ya bia ya Serengeti

Monday, June 25, 2012

Hook Me Up....


                                           

Hellow....
Kwema? How was the weekend? Yangu ilikua poa tu nashukuru.. Nililala weekend nzima! Nimekuja ofiisini asubuhi nikiwa sooo refreshed...
Anyway I know wanawake wote tuna girl friends, mashosti wengi wengi tu, wengine tuko nao closer kuliko wengine. Na pia kwa vile mie ni mwanamke na pia nina friends nina uhakika yatakuwa yameshawahi kukutokea haya. When una boy friend, na shosti wako yuko single - wengi wao hua wanaomba uwa hook up na rafiki za boy friend wako, au hata labda na kaka yako, uncle na kadhalika!
What do we expect? Labda hua tunadhani kwa vile labda your boy friend ana vigezo na tabia njema then marafiki zake pia watakua the same? Au tunataka kuunganishwa (kua hooked up) ili twende on double dates?
Personally, all the hook ups ambazo nishawahi kupata hazikufaa. Nilikimbia mwenyewe!!! Wanakua sio what you expected...

Hii ni tabia ambayo wanawake wengi tunayo, tusidanganyane... Swali ni kua - does the relationship work hata ukiwa hooked up? Ishawahi kutokea kwako na upo na huyo mtu till now? Au iliishaje? Ningependa kujua tu.... Let's share...

Funguka...

Email me - barbshassan@gmail.com
or SMS -0 +255 759 008500

xoxo

Thursday, June 21, 2012

Mamaangu ni Rafiki Yangu...


                                       


Mambo zenu?
Personally mimi sikupata bahati ya kuwa karibu na mamangu mzazi kwa sababu alifariki nikiwa mdogo, ila nililelewa na bibi (mamake mama) na mama mkubwa. Ambao hawa walinilea kama mwanao kabisa na mimi nikawapenda, kuwaheshimu na kuwa karibu nao kama mama zangu kabisa. Kile ambacho ningetakiwa kumwambia my mum nilikua nawaambia wao, na kile ambacho nilitakiwa nimpe mama yangu niliwapa wao. Niliwaonea sana wivu wale waliokua wakipeta na mama zao wazazi, akija shule "mamangu hivi, mamangu vile."  But nilizoea baada ya muda.
Anyway my point kwa leo ni kuwa my son sikuweza kua karibu naye kwa sababu I was busy na chuo na kazi. Mara nyingi nilikua sipo nyumbani. Yeye akawa close to my kid sister Eugenia. Hapa pia nikawa na wivu, nilitamani kweli niwepo home mara nyingi ili niwe closer to my son. Lakini nilikua namtafutia future kwa hiyo nikavumilia tu.
Baada ya kupata mtoto wa pili Ashley, nikasema hapa ndipo. Huyu sasa kaja wakati I'm settled, so nitajaribu niwezavyo kuwa very close to her. Na imetokea hivyo. Wanasaikolojia wanasema kuwa wakati wa kutengeneza bond na mwanao kama mzazi ni toka akiwa mdogo. Akishafikisha miaka 12 kama hakuna bond basi sahau. Right now nashukuru Mungu because my daughter ananiambia kila kitu, chochote anchowaza, chochote anachopitia. Yaani akitoka shule tunakaa chini anaanza kunielezea ilivyokua shule siku hiyo, what she learned, marafiki zake, walimu wake, ananiimbia. Na usiku kabla hatujalala anasali with me, ananiambia hadithi za shule - au mara nyingine mi ndo namuelezea. She wants to know about my colleagues at work, kama nina vikao the next day, yaani ratiba yangu nzima. Wakati she is only 5. Sio kua najisifia but namshukuru tu Mungu kua at least - baada ya kukosa kuwa close na mama mzazi, my kid sister na my son - Mungu amenipa another chance.
Je wewe, mama yako ni rafiki yako? Hua munaenda saluni pamoja? Harusini? Munapika wote? Munapiga story/umbea? Je, hua unapata chance hata kwenda for dinner wewe tu na mama yako? Kuongea about maisha ulikotoka na unapokwenda? Na siongelei right now tu ila hata zamani wakati unakuwa. Kiukweli hakuna rafiki kama mama, mama aliyekuzaa, mama aliyekupa unconditional love, mama atakaye stand by you hata kama wewe umekosea, mama atakayesimama katikati pindi baba anapotaka kukuchapa, mama anayeweza kufa kwa ajili yako.
Tuwape mama zetu chance ya kuwa close na sisi, na hata kama hukuweza kufanya before na bado yu hai, unaweza kuanza sasa. And from her utaweza kujifunza how to be close to your own children.
Kwa leo ni hayo tu... Nimetoa yangu ya moyoni...

xoxo

Kwa maoni au story yako - Email - barbshassan@gmail.com
or SMS - +255 759 008500

Wednesday, June 13, 2012

Jamani - Balaaaa

Jamani jamani.. Mimi kama mwanamke wakati namnyonyesha mwanangu nilikua naona aibu kutoa nyonyo mbele za watu. Sasa imajin na utu uzima huu eti nimtolee mwanaume nyonyo hadharani anyonye kwa raha zake. Coz kwake sio chakula!!! HAHhhhahahahah..
Kumeingi mtindo huu mpya nchini Ghana wakaka watanashati wadogo wadogo kiumri wakienda out kwenye clubs wananyonya maziwa ya madem zao nje nje bila aibu!
Swali - I know hao wanaume hawataona aibu kihivyo, lakini kwa wadada je? Na hizo night clubs kwa nini wasiwakatalie kufanya hivi?
Je, wewe unaweza kuthubutu to do the same?

Have a lovely day,
xoxo

Maoni Email - barbshassan@gmail.com
SMS - +255 759 008500

Tuesday, June 12, 2012

Shopping...


            
(Photo courtesy of Fotosearch)
                   
Hello,
I know hua unafanya shopping za namna tofauti tofauti.... Na kama sio kila mara at least mara moja kwa mwezi. Shopping ya chakula, ya vitu vya nyumbani kama (mashuka, vyombo nk), shopping ya nguo, accesories nk. Sijui kama hua unaandika list ya vitu unavyoenda kununua or not. I always do. Kwa sababu nisipoandika najikuta nanunua vitu nisivyohitaji na kusahau vile muhimu.

Anyway hilo ni la siku nyingine. Kwa leo nataka niongelee watu ambao na wao wanafanya shopping, mara nyingi inakuwa wanawake wenzetu. Specifically wakati tunafanya shopping za nguo, accessories, viatu, nywele. Wapo ambao hawajui wanachotaka na wengine hawajui kuchagua. Kwa hiyo wanakua wanaotea kukuangalia waone unachagua nini kisha wanadandia na hata kudiriki kukunyang'anya mkononi. "Oohh jamani nilikua natafuta sana sketi ya rangi hii" au " "uuuwwiii yaani nimesubiria sana kupata nywele za namna hii" Kisha anajifanya anaangalia angalia anakibeba na kwenda kulipia. Wanakuacha wewe umetoa macho hujui hata kinachoendelea. Kwa kweli I dont like hii tabia kabisa. Why utumie macho yangu kuona vitu vizuri? Mie ishanikuta sana. So hua nikiwashtukia watu wa na namna hii nitazunguka tu kwenye hilo duka bila kuchagua kitu hadi waondoke. Manake watanizingua nijikute nagombana nao bure.
Kama hauko sure na unachohitaji kwa nini usimuombe msaidizi kwenye duka husika akusaidie? That's why wapo pale.

Hata kwenye Supermarkets mtu anakuja hajui alichofuata, anakufuata nyuma kama mkia, ukienda section ya chakula yupo nyuma yako, ya sabuni - huyu hapa, ya toys - bado yumo. Kila utachochukua na yeye anabeba. Na anaweza akakuuliza kabisa - eti hii shampoo ni nzuri eeh? Mie hua hata sijibu. Kwani alikua akitumia shampoo ya aina gani all through?
Anyway, yashakukuta? If yes ulifanya nini?
Funguka...

Kwa maoni Email me - barbshassan@gmail.com
or sms - +255 759 008500


Siku njema
xoxo

Thursday, June 7, 2012

Women In Balance...

Usipitwe mdau wa wanawakenisisi. Haya si ndio mambo yenyewe sasaaaa... See you!!!!

XOXO

Kwa maoni - Email me - barbshassan@gmail.com
or SMS - +255 759 008500
 

Sample text

Sample Text

Sample Text